Maandalizi ya mazishi ya Papa Francis, katika Dira ya Dunia TV

Maandalizi ya mazishi ya Papa Francis, katika Dira ya Dunia TV

Makadinali wanakutana huko Vatican kwa ajili ya maandalizi ya mazishi ya Papa Francis, aliyefariki Jumatatu ya Pasaka akiwa mwenye umri wa miaka 88. Vatican imethibitisha kwamba alipatwa na kiharusi kilichosababisha matatizo ya moyo.

Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw

Comments

No comments yet. Why don’t you start the discussion?

ใส่ความเห็น

อีเมลของคุณจะไม่แสดงให้คนอื่นเห็น ช่องข้อมูลจำเป็นถูกทำเครื่องหมาย *